tamthilia ya kigogo video

Michuki Technical Training Institute Courses Offered, Contacts and Application Procedure

Michuki Technical Training Institute Courses, Contacts, and Application: [email protected], 0725912313/0203526533, P.O Box 4 – 00517Kangema

Nairobi County Institute Of Management And Logistics Courses Offered, Contacts and Application Procedure

Nairobi County Institute Of Management And Logistics Courses, Contacts, and Application: [email protected], 724039932, P.O Box 15515 – 00400Nairobi

Mewa Vocational Training Center Courses Offered, Contacts and Application Procedure

Mewa Vocational Training Center Courses, Contacts, and Application: [email protected], 0431621134/0722819795, P.O Box 89427 – 80100 Mombasa

Wahusika na Sifa Zao Katika Riwaya ya Chozi la Heri

Join Our Telegram Group Mhusika ni mtu katika riwaya au hadithi fulani anayetenda mambo kadha wa kadha, kadri mtunzi wa hadithi au riwaya atakavyo, ili kujenga hadithi yake. Wahusika katika riwaya ya Chozi la Heri, wametumika kuafikisha maudhui ambayo mtunzi…

Uchambuzi wa Jalada la Riwaya ya Chozi la Heri

Jalada la Riwaya ya Chozi la Heri Join Our Telegram Group Jalada la Riwaya ya Chozi la Heri ni tokeo la usanii wake, Robert Kambo. Rangi ya kijani kibichi Katika upande wa mbele sehemu ya juu, mna rangi ya kijani…

Maswali ya Insha na Dondoo Kutoka Tamthilia ya Kigogo

A) Maswali ya Insha Kutoka Tamthilia ya Kigogo Join Our Telegram Group 1) Jadili jinsi maudhui ya uzalendo yamejitokeza katika tamthilia ya Kigogo. (al 20) 2) “Mwandishi wa tamthilia ya kigogo anadhamiria kujenga jamii mpya”Thibitisha ukweli wa kauli hii. (al…

UCHAMBUZI WA MAUDHUI KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Kuna maudhui kadhaa yanayojitokeza kwenye tamthilia ya Kigogo iliyoandikwa naye Pauline Kea. Haya ndio baadhi ya maudhui hayo: 1) UONGOZI MBAYA Viongozi huangaisha wanyonge, Ashua anasema, “…na kuhangaishwa na wenye nguvu ndio hewa tunayopumua huko.” (uk 2) Wachochole hutumikizwa na…

WAHUSIKA KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

Kunao wahusika kadhaa katika tamthilia ya Kigogo. Hawa ndio wahusika, na sifa kuwahusu. MAJOKA Ni kiongozi wa jimbo la Sagamoyo. Ni katili. Anaamuru Tunu auliwe,anavunjwa mfupa wa muundi. Anamwambia kingi awapige watu risasi katika soko la Chapakazi. Ni mkware. Anapanga…

Mwongozo Wa Kigogo: MTIRIRIKO KATIKA TAMTHILIA YA KIGOGO

MTIRIRIKO KATIKA ONYESHO LA KWANZA TENDO LA KWANZA Ni katika karakana ya soko la Chapakazi, Sudi, Boza na Kombe wanafanya kazi ya uchongaji.Sudi amefungulia radio huku wakiendelea na kazi yao.Ashua anawaletea chai ya mkandaa na mahamri na kuondoka. Habari inatolewa…

CHECK DOMAIN